Published On Premiered Apr 21, 2024
Huku mvutano ukiongezeka Mashariki ya Kati, kati ya Israel na Iran, utawala wa kidini pia unawakandamiza wanawake ndani ya Iran.
Kumekuwa na uwepo mpya wa polisi wa maadili wanaokamata wanawake mitaani huku video zikithibitishwa BBC
#bbcswahili #syria #wanawake
show more