Published On Premiered Apr 11, 2024
Wakazi wa kata Mohoro wilayani Rufiji wanakabiliwa na hatari ya Magonjwa ya mlipuko kutokana na mafuriko yanayoendelea kuikumba wilaya hiyo
Mpaka sasa tayari watu wawili wamepoteza maisha huku serikali, mashirika na watu binafsi wakiendelea kupeleka misaada ya kibinadamu kuwasaidia waathirika
🎥: @eagansalla_gifted_sounds
#bbcswahili #rufiji #mafurikorufiji
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
show more