Published On Premiered Apr 9, 2024
Rais wa Kenya William Ruto tarehe 8 Aprili aliamuru kutumwa kwa vikosi vya usalama kaskazini-magharibi mwa Kaunti ya Pokot Magharibi kutokana na kuongezeka kwa mashambulizi ya "majambazi".
Caro Robi alizungumza na Gavana wa kaunti ya West Pokot Simon Kachapin kufahamu zaidi kuhusu agizo hilo la Rais na hali ya usalama.
#bbcswahili #kenya #usalama
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
show more